![]() |
SHIJA WA SHIJA "Sssaaana tuuu' | ![]() |
![]() |
KUNANI HAPAAAAH!! MBONA KILA KITU KINAHATIBIKA!! Jina langu naitwa Shija mjukuu wa Shija mwana x-soldeir Mzee Richard. Nilizaliwa miaka kadhaa iliyopita jijini Dar es Salaam na kupata elimu ya msingi kwenye shule ya msingi Mbagala kuleee TMK kwa wanaume! Elimu ya sekondari nilisoma Forodhani na sekondari ya juu Mkwawa, kabla ya kujiunga na Chuo cha Uhasibu Arusha kusoma kozi ya Uhasibu na kupata Stashahada ya Juu ya Uhasibu na baadaye nilijiunga Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM Dar es Saaam na kupata stashahada ya uzamili ya Usimamizi wa Fedha. Sasa hivi ninafanyakazi kwenye kampuni ya jijini Dar es Salaam nikiwa katika nafasi ya Mhasibu, lakini pia najishughulisha na kazi ninayoipenda sana ya kuandika habari! Soma gazeti la Dar Leo kila Jumamosi ukurasa wa nne usome mfululizo wa makala zangu katika mraba wa WEW NA PESA ZAKO!!
|
![]() |
The History or Story Behind My Site (Tegemea nini kwenye mtandao huu) Others Email Me! (Wasiliana nami kupitia) Links to Other Sites |